WELCOME

Translate

Monday, July 20, 2015

MKURUGENZI WA ZAWA ZANZIBAR NA MH BALOZI SEIF ALL IDD





 Mkurugenzi Uzalishaji Maji wa Mamlaka ya Maji Zanzibar {ZAWA } Mhandisi Moh’d Elyas aliyenyanyua mkono akimpatia maelezo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif kazi zilizobakia katika kukamilisha Miundombinu ya ujenzi wa kisima cha Maji safi katika Kijiji cha Kinduni Wilaya ya Kaskazini “B”.

No comments:

Post a Comment