WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknlojia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Pro: Makame Mnyaa Mbarawa, akisalimiana na wachezaji wa timu ya Fidel Castro, kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali ya kuwania kombe la CCM jimbo la Wawi, dhidi ya Wawi star, uliochezwa uwanja wa Gombani Chake chake Pemba, ambapo Fidel iliibuka na ubingwa, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment