KUKOSEKANA kwa machela maalumu kwenye michuano mbali mbali inayochezwa uwanja wa Gombani, husababisha kwa wachezaji kubebana wenyewe, kama juzi kwenye michuano ya kuwania kombe la CCM jimbo la Wawi, ambapo timu ya Wawi star ikimtoa mchezaji wao Salum Abdalla baada ya kupata majeraha, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment