WELCOME

Translate

Monday, July 20, 2015

KUKOSEKANA MCHEZAJI SALUM ABDALLA KWENYE KOMBE LA CCM KATIKA JIMBO LA WAWI

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh1b9lUgAEsrLmQL9GfuuWtndQVbk2R0zaG5UInWHRVRrI3LJPOkWNc6kQwGX9RRzEyzxwgQv2gROCGGIbpgLyHv_U3oM8F-V_kRhyphenhyphen9glwrjVAchntRWccJDUNHnQ8QT_DpXb9_JCf7vuQ/s640/DSC_9436.JPG  
KUKOSEKANA kwa machela maalumu kwenye michuano mbali mbali inayochezwa uwanja wa Gombani, husababisha kwa wachezaji kubebana wenyewe, kama juzi kwenye michuano ya kuwania kombe la CCM jimbo la Wawi, ambapo timu ya Wawi star ikimtoa mchezaji wao Salum Abdalla baada ya kupata majeraha, (Picha na Haji Nassor, Pemba).


No comments:

Post a Comment