WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknlojia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Pro: Makame Mnyaa Mbarawa, akisalimiana na wachezaji wa timu ya Wawi star, kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali ya kuwania kombe la CCM jimbo la Wawi, dhidi ya Fidel castro, uliochezwa uwanja wa Gombani Chake chake Pemba, ambapo Fidel ilitazwa ubingwa (Picha na Haji Nassor, Pe
No comments:
Post a Comment