WELCOME

Translate

Sunday, February 9, 2020

BALAA YA MZIGE YAKARIBIA TZ

KILIMANJARO: NZIGE HUENDA WAKAINGIA TANZANIA
- Afisa Kilimo wa Wilaya ya Mwanga amesema wamepokea taarifa kuwa Nzige wapo Km 50 kufika ulipo mpaka wa Kenya na Tanzania
- Amewataka Wananchi kutoa taarifa mapema waonapo makundi ya Wadudu aina ya Panzi

No comments:

Post a Comment